Kampuni kubwa ya mtandao ya kijamii, Meta, ilifika mbele ya Tume ya Kifalme kuhusu Unyanyasaji wa Wayahudi na Uwiano wa Kijamii jana Julai 6, ikitetea rekodi yake ya kukomesha matumizi mabaya mtandaoni.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Kamishna wa Usalama Mtandaoni, Julie Inman Grant, amekosoa majukwaa ya mitandao ya kijamii kwa kushindwa kufuatilia kile kinachoitwa maudhui "yaliyojaa uchafu".
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






