Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari:Tiba ya majaribio ya Ebola yazinduliwa Mashariki mwa DR Congo

AAP
AAP

Raia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamepata matumaini mapya baada ya kuanza kwa majaribio ya dawa mbili zinazolenga kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Raia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamepata matumaini mapya baada ya kuanza kwa majaribio ya dawa mbili zinazolenga kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.


Uzinduzi wa tiba hiyo umefanyika katika kituo cha matibabu ya Ebola kilichopo kwenye hospitali moja huko Bunia, katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Utafiti mpya umegundua kuwa chuki dhidi ya Waislamu nchini Australia imeongezeka sana tangu kuanza kwa vita vya Gaza mnamo Oktoba 2023, huku ongezeko lingine likifuata shambulio la kigaidi la Bondi.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now