Mkutano wa Kikanda wa ASEAN unakamilika mjini Manila, ambapo Australia imeibua wasiwasi kuhusu hatua za kijeshi za China katika eneo hilo.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mvutano kuhusu Bahari ya Kusini ya China na majaribio ya hivi karibuni ya makombora katika Pasifiki yamelaaniwa na Australia, ambayo inasema utulivu wa kikanda unategemea usawa wa nguvu.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






