Makala Leo:China yaambia Australia iache kuzungumzia Bahari ya Kusini mwa China wakati mvutano ukiongezeka katika Mkutano wa ASEAN

Foreign Minister Penny Wong at ASEAN conference
Australia's Foreign Minister Penny Wong speaks during the ASEAN Post-Ministerial Conference with Australia on the sidelines of the Association of Southeast Asian Nations (ASEAN) Foreign Ministers' Meeting in Pasay, Metro Manila, Philippines Wednesday, July 22, 2026. (Ted Aljibe/Pool Photo via AP) Credit: Ted Aljibe/Ted Aljibe/Pool AFP via AP

Mkutano wa Kikanda wa ASEAN unakamilika mjini Manila, ambapo Australia imeibua wasiwasi kuhusu hatua za kijeshi za China katika eneo hilo.


Published

By Sydney Lang

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mkutano wa Kikanda wa ASEAN unakamilika mjini Manila, ambapo Australia imeibua wasiwasi kuhusu hatua za kijeshi za China katika eneo hilo.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mvutano kuhusu Bahari ya Kusini ya China na majaribio ya hivi karibuni ya makombora katika Pasifiki yamelaaniwa na Australia, ambayo inasema utulivu wa kikanda unategemea usawa wa nguvu.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now