SKIP TO MAIN CONTENT

Mumbi afunguka kuhusu mapokezi ya tamasha ya filamu zaki Afrika nchini Australia

Bi Safia na Bi Mumbi, Wakurugenzi wa Tamasha ya Filamu zaki Afrika nchini Australia.jpg

Wanachama wa Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika ukumbi wa maarufu wa Opera House na Events Cinema kushiriki katika tamasha ya kila mwaka ya filamu zaki Afrika kuanzia 3-6 Septemba.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Wanachama wa Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika ukumbi wa maarufu wa Opera House na Events Cinema kushiriki katika tamasha ya kila mwaka ya filamu zaki Afrika kuanzia 3-6 Septemba.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Katika mazungumzo na SBS Swahili baada ya tamati ya tamasha hiyo, Mkurugenzi wa tamasha hiyo Bi Mumbi alifunguka kuhusu mapokezi ya tamasha hiyo pamoja na kile wapenzi wa filamu za Afrika wanastahili tarajia kutoka shirika lake mwakani.

Kwa taarifa zaidi kuhusu shirika lake tembelea: https://africafilmfest.au/

Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now