Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yameshindwa kufikia makubaliano ya kukomesha vita, na kuhatarisha usitishaji wa mapigano kwa muda wa wiki mbili.
Kuvunjika kwa mazungumzo ya amani, na mipango ya Marekani ya kuzuia Mlango-Bahari wa Hormuz, kumetikisa eneo ambalo tayari lilikuwa na wasiwasi na kuzua hofu ya mapigano mapya.
Mamia ya wapatanishi na saa ishirini na moja za mazungumzo kujaribu kukomesha wiki sita za mapigano makali.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






