Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yavunjika tena

A protest in Iraq against US and Israeli attacks on Iran

Iraqis Muslim women hold portraits of Iran's late Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei, during a protest against U.S. and Israeli attacks on multiple cities across Iran, in Baghdad, Iraq, Saturday, April 25, 2026. (AP Photo/Hadi Mizban) Source: AP / Hadi Mizban/AP

Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamevunjika baada ya Rais wa Marekani Donald Trump, kutangaza Jumapili kwamba anafuta safari ya mjumbe wake kwenda Pakistan.


Iran pia imekataa mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani, ikihoji kujitolea kwao kwa suluhisho la kidiplomasia, huku wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi ya Israeli dhidi ya Lebanon.

Wakati huo huo, sehemu ndogo ya Wapalestina wamepiga kura zao katika uchaguzi wa kwanza huko Gaza katika zaidi ya miaka 20.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now