Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamevunjika baada ya Rais wa Marekani Donald Trump, kutangaza Jumapili kwamba anafuta safari ya mjumbe wake kwenda Pakistan.
Iran pia imekataa mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani, ikihoji kujitolea kwao kwa suluhisho la kidiplomasia, huku wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi ya Israeli dhidi ya Lebanon.
Wakati huo huo, sehemu ndogo ya Wapalestina wamepiga kura zao katika uchaguzi wa kwanza huko Gaza katika zaidi ya miaka 20.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






