Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Ripoti mpya yataka mkakati wa kitaifa kuhusu Akili Bandia mahali pa kazi

Amazon floor manager, Reza Faqiri, poses with an Amazon robot at a Sydney fulfilment centre in 2023

Reza Faqiri, an Amazon floor manager, poses with an Amazon robot at Amazon Robotics Fulfilment Centre in Sydney, Friday, October 18, 2024. Amazon robotRobotics and AI are helping some people avoid mundane and repetitive physical tasks, and are being increasingly accepted in Australian workplaces. (AAP Image/Dean Lewins) NO ARCHIVING Source: AAP / DEAN LEWINS/AAPIMAGE

Ripoti mpya inasema kwamba Australia haina mkakati wa kitaifa wa kudhibiti kuenea kwa akili bandia mahali pa kazi.


Ripoti hiyo imechapishwa wakati kongamano la A-I likifanyika mjini Adelaide ili kuchunguza suala hilo.

Ripoti kutoka Kituo cha Utafiti cha John Curtin inasema kwamba athari ya AI kwa wafanyakazi wa Australia haitaamuliwa na teknolojia, bali na chaguzi za kisiasa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now