Ripoti mpya inasema kwamba Australia haina mkakati wa kitaifa wa kudhibiti kuenea kwa akili bandia mahali pa kazi.
Ripoti hiyo imechapishwa wakati kongamano la A-I likifanyika mjini Adelaide ili kuchunguza suala hilo.
Ripoti kutoka Kituo cha Utafiti cha John Curtin inasema kwamba athari ya AI kwa wafanyakazi wa Australia haitaamuliwa na teknolojia, bali na chaguzi za kisiasa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






