Makala leo: Tovuti mpya na App ya kuwalinda wanafunzi wa kimataifa nchini Australia

Tertiary students at the University of Melbourne in Melbourne

International students at Melbourne University Source: AAP / (AAP Image/Julian Smith)

Kwa wanafunzi wa kimataifa wanaosomea nchini Australia, kupata huduma ya afya mara nyingi huonekana kama swala ghali sana... au la kutatanisha sana kuweza kuipitia.


Mpango mpya uliobuniwa na wanafunzi wa kimataifa KWA wanafunzi wa kimataifa - unalenga kurahisisha upatikanaji wa huduma, ukiondoa miiko inayohusu afya ya ngono na akili.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now