Makala leo: Ubaguzi wa rangi wabainika kuwa umeenea na niwa kimfumo katika vyuo vikuu vya Australia

Lushy Chinganya, President of the University of Melbourne Student Union, which is releasing its fourth report on students’ experiences of racism..jpg

Ripoti ya kwanza ya kitaifa kuhusu ubaguzi wa rangi katika vyuo vikuu nchini Australia imegundua kuwa ni tatizo lililo enea na la kimfumo.


Ripoti hiyo iligundua kuwa asilimia 70 ya wanafunzi na wafanyakazi kutoka vyuo vikuu 42 walishuhudia ubaguzi wa rangi.

Viwango vya ubaguzi wa rangi vilikuwa juu zaidi miongoni mwa wanafunzi na wafanyakazi wa Asili, Wachina, Waafrika, Wayahudi na wanafunzi kutoka Mashariki ya Kati; wakati asilimia sita pekee ya waliopitia uzoefu wa ubaguzi wa rangi waki wasilisha malalamishi.

Kikosi Kazi cha Serikali cha Elimu ya kupambana na ubaguzi wa Wayahudi kinatarajiwa kuwafahamisha mawaziri wa elimu siku ya Ijumaa [[20 Feb]] kuhusu mabadiliko ya mafunzo ya walimu ili kupambana na ubaguzi wa rangi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now