SKIP TO MAIN CONTENT

Makala Leo:Wa Australia 34 miongoni mwa watu ambao wamepotea katika mafuriko Nepal

Rescuers carry a victim to safety in Nepal
Rescuers carry a victim of flash flooding to safety along the Trishuli River in Nepal's Nuwakot district, Wednesday, Aug. 26, 2026. (AP Photo/Niranjan Shrestha) Source: AP / Niranjan Shrestha/AP Photo/Niranjan Shrestha

Takriban watu 160 wameuawa, na mamia wakiwemo watalii na Waaustralia 34 hawajulikani walipo, kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea kwenye mpaka wa Nepal na Tibet.


Published

Updated

By Haylena Krishnamoorthy

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Takriban watu 160 wameuawa, na mamia wakiwemo watalii na Waaustralia 34 hawajulikani walipo, kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea kwenye mpaka wa Nepal na Tibet.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mamlaka za mitaa zinasema zaidi ya miili 150 imepatikana.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia, Penny Wong anasema wale waliopotea ni sehemu ya vikundi tofauti vya hija na ziara. Utafutaji ukiendelea, maswali yanaibuka kuhusu kilichosababisha mafuriko hayo, na hatari za mafuriko mapya.

Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now