Shirika lakutetea haki za binadam la Human Rights Watch lime onya kuwa, makundi ya watu wenye silaha yame endesha mifululizo yamashambulizi dhidi ya mikutano yakisiasa na shughuli za mashirika yakiraia katika maeneo mbalimbali nchini Kenya.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Ripoti ya shirika hilo iliyo chapishwa hivi karibuni imesema mashambulizi hayo yame sababisha vifo vya idadi ya watu isiyopungua sita na kujeruhi wengine kadhaa.
Bofya hapo chini kwa taarifa kamili.
Share






