SKIP TO MAIN CONTENT

Taarifa ya Habari:Wanafunzi wakimataifa kukabiliwa kwa mkakati wa uhamiaji, wenye sheria kali

University of Melbourne
Credit: www.timeshighereducation.com

Serikali ya shirikisho ime tangaza mabadiliko makubwa katika mfumo wa uhamiaji wa Australia, ikiimarisha sheria kuhusu ni nani anayeweza kuja nchini na ni nani anayeweza baki nchini.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Serikali ya shirikisho ime tangaza mabadiliko makubwa katika mfumo wa uhamiaji wa Australia, ikiimarisha sheria kuhusu ni nani anayeweza kuja nchini na ni nani anayeweza baki nchini.


Marekebisho hayo yaliyosubiriwa kwa muda mrefu yatawazuia wanafunzi wa kimataifa kuwaleta wanafamilia Australia, kuwazuia watu kutumia visa ya wageni ili kuongeza muda wao wa kubaki nchini, kuimarisha sheria za kuhama kutoka visa moja hadi nyingine, na kuimarisha juhudi za kuwaondoa watu ambao hawana visa halali tena. Waziri wa Mambo ya Ndani Tony Burke anasema moja ya mabadiliko makubwa zaidi yatakomesha uwezo wa wanafunzi wa kimataifa kuwajumuisha kiotomatiki wanafamilia kwenye visa za wanafunzi na wahitimu.

Serikali ya Kenya itakata rufaa dhidi ya uamuzi uliobatilisha mauzo ya hisa za Safaricom kwa dola bilioni 1.9. Wachambuzi wanaonya kuwa hatua hiyo inaweza kuhatarisha mpango mkubwa wa miundombinu wa Rais William Ruto. Mahakama imesema uuzaji wa asilimia 15 ya hisa za serikali kwa kampuni ya Vodacom ya Afrika Kusini ulikiuka masharti kadhaa ya kisheria na kikatiba. Serikali imesisitiza kuwa taratibu zote zilifuatwa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now