Mh Dkt Jackson Kosgei ni Askofu mstaafu, na kwa sasa ana hudumu kama mbunge aliyeteuliwa katika bunge la taifa nchini Kenya.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mh Dkt Kosgei ni miongoni mwa wabunge wanao ishi na ulemavu.
Katika mazungumzo na SBS Swahili, alifunguka kuhusu alivyo pata ulemavu na wakati alikubali kuwa ulemavu si kutoweza.
Bofya hapo juu kwa mahojiano kamili.
Share






