Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Wanawake kote duniani wame ingia mitaani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake

Women hold slogans during a march marking the International Women’s Day near Taksim square in Istanbul

Women hold slogans during a march marking the International Women's Day near Taksim square in Istanbul on March 8, 2026. Thousands of women gathered in Beyo?lu for the traditional Feminist Night March, organized in Istanbul as part of International Women's Day on March 8th. (Photo by Tolga Sezgin / SOPA Images/Sipa USA) Source: SIPA USA / Tolga Sezgin / SOPA Images/Tolga Sezgin / SOPA Images/Sipa USA

Wanawake kote duniani walijitokeza mitaani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wakitaka kukomeshwa kwa ukosefu wa usawa na ubaguzi.


Baadhi ya masuala yaliyo angaziwa ni ukosefu wa usawa wa malipo, haki za uzazi na unyanyasaji wa kijinsia.

Usiku ulipoingia, maelfu ya wanawake waliandamana katika mji mkuu wa Turkiye, Istanbul, wakipinga marufuku ya maandamano.

Nako mjini Madrid, wanawake waliandamana kwa mshikamano na wanawake wanaoishi chini ya tawala dhalimu, wakielezea hofu kwamba hali inayozidi kuongezeka katika eneo la Mashariki ya Kati itazidisha hali hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now