Baadhi ya masuala yaliyo angaziwa ni ukosefu wa usawa wa malipo, haki za uzazi na unyanyasaji wa kijinsia.
Usiku ulipoingia, maelfu ya wanawake waliandamana katika mji mkuu wa Turkiye, Istanbul, wakipinga marufuku ya maandamano.
Nako mjini Madrid, wanawake waliandamana kwa mshikamano na wanawake wanaoishi chini ya tawala dhalimu, wakielezea hofu kwamba hali inayozidi kuongezeka katika eneo la Mashariki ya Kati itazidisha hali hiyo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.




