Unawezaje hakikisha kwamba msiba uta hudhuriwa na watu wengi? Baada ya yote, jambo la mwisho unalotaka kutokea unapo aga dunia... ni kuondoka bila shamra shamra yoyote.
Nchini Kenya, baadhi ya familia zinaajiri waombolezaji ambao ni watalaam wa shughuli hiyo kwa ajili yakuwapa wapendwa wao kwa heri inayo stahili.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






