Wiki hii umakini mkubwa umekuwa kwenye Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu (NDIS), serikali ya shirikisho ikitangaza makato ambayo yanakadiriwa yata ondoa makumi ya maelfu ya watu kwenye mfumo huo.
Lakini pia kumekuwa na maendeleo katika utunzaji wa wazee.
Serikali sasa imebadilisha sera yake kuhusu ufadhili wa kuoga, baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wakazi, familia, na wanaharakati.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






