Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Watetezi waunga mkono uamuzi wa kuoga bure katika huduma ya utunzaji wa wazee nyumbani

NDIS COMPOSITE

A composite created on Wednesday, April 22, 2026 featuring Health Minister Mark Butler and the NDIS, flagging cuts to the National Disability Insurance Scheme as the government seeks to curb growth to about 5 per cent. (AAP Image/Susie Dodds) NO ARCHIVING Source: AAP / Susie Dodds/AAPIMAGE

Wiki hii umakini mkubwa umekuwa kwenye Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu (NDIS), serikali ya shirikisho ikitangaza makato ambayo yanakadiriwa yata ondoa makumi ya maelfu ya watu kwenye mfumo huo.


Lakini pia kumekuwa na maendeleo katika utunzaji wa wazee.

Serikali sasa imebadilisha sera yake kuhusu ufadhili wa kuoga, baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wakazi, familia, na wanaharakati.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now