Makala leo: Waumini wa dini laki Islamu wa anza mfungo wa Ramadan nchini Australia na duniani kote

js

Muslims and Sikhs in Peshawar partaking iftar together. Source: Supplied

Mwezi mtukufu wa Ramadan ume anza, Waislamu kote duniani wakisherehekea Iftar katika siku ya pili ya kipindi cha mfungo.


Nchini Australia, kumbi kadhaa zina hudumia idadi inayoongezeka ya waumini, kumbi hizo zikifunguliwa muda mrefu baada ya jua kutua na hadi alfajiri.

Mwezi Mtukufu hutamatika kwa Eid - mamilioni ya Waislamu watakusanyika mwezi ujao (Machi) ili kufungua mfungo wao kwa karamu na sherehe za dhati.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now