Nchini Australia, kumbi kadhaa zina hudumia idadi inayoongezeka ya waumini, kumbi hizo zikifunguliwa muda mrefu baada ya jua kutua na hadi alfajiri.
Mwezi Mtukufu hutamatika kwa Eid - mamilioni ya Waislamu watakusanyika mwezi ujao (Machi) ili kufungua mfungo wao kwa karamu na sherehe za dhati.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





