Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: Mkuu wa jeshi azuia shughuli za Nation Media Group nchini Uganda

Lt.Gen. Muhoozi Kainerugaba akitoa hotuba.jpg

Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.


Hatua hiyo inafuatia amri iliyotolewa na Mkuu wa jeshi, Jenerali Muhoozi Kainerugaba aliyeamuru kufungwa kwa televisheni, redio na magazeti ya chombo hicho. Mkuu huyo wa jeshi la Uganda ameeleza wazi kuwa haamini katika uhuru wa vyombo vya habari na kwamba vyombo hivyo vinapaswa kufuata maagizo ya serikali.

Duru ya tatu ya vikao kama sehemu ya Tume ya Kifalme kwa Chuki dhidi ya Wayahudi na Mshikamano wakijamii imeanza.Lengo la wiki mbili zijazo niku chunguza jinsi chuki dhidi ya wayahudi husambaa katika jamii za mtandaoni, madhara yake kwa jamii ya Wayahudi na, ufanisi wa sera zilizopo za kuzuia kauli za chuki.

Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now