Mshtuko wa kwanza mkubwa wa Kombe la Dunia la FIFA umeshuhudiwa, baada ya timu ambayo inadhaniwa ina nafasi kubwa yakushinda michuano hiyo, kunyimwa ushindi na Cabo Verde wanao shiriki katika michuano hiyo kwa mara yao ya kwanza.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Cha kushangaza, mechi zote nne za Siku ya 5 zilimalizika kwa sare - mara ya kwanza hali hii imetokea katika Kombe la Dunia katika miaka 68.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






