Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mutamba ahukumiwa kifungo cha kazi ngumu DR Congo

Constant Mutamba

Former Justice Minister Constant Mutamba stands on trial for embezzlement of public funds in Kinshasa, Congo on Tuesday 02 September 2025. Source: AAP / Michael Nigro / Belga/ACP/Belga/Sipa USA/AAP Image

Waziri wa Sheria wa zamani wa DR Congo, Constant Mutamba amehukumiwa na mahakama mjini Kinshana kufanya kazi ngumu kwa miaka mitatu.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mutamba alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya ubadhirifu wa fedha za umma, zikiwemo za faida kwa waathirika wa vita. Hukumu hiyo imetolewa baada ya Mutamba kukutwa na hatia yaku kiuka utaratiba wa utoaji wa zabuni kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa gereza, ambalo liko mashariki mwa mji wa Kisangani lenye thamani ya dola milioni 40 zaki Marekani.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now