Mutamba ahukumiwa kifungo cha kazi ngumu DR Congo

Constant Mutamba

Former Justice Minister Constant Mutamba stands on trial for embezzlement of public funds in Kinshasa, Congo on Tuesday 02 September 2025. Source: SIPA USA / Belga/ACP/Belga/Sipa USA/AAP Image

Waziri wa Sheria wa zamani wa DR Congo, Constant Mutamba amehukumiwa na mahakama mjini Kinshana kufanya kazi ngumu kwa miaka mitatu.


Mutamba alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya ubadhirifu wa fedha za umma, zikiwemo za faida kwa waathirika wa vita. Hukumu hiyo imetolewa baada ya Mutamba kukutwa na hatia yaku kiuka utaratiba wa utoaji wa zabuni kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa gereza, ambalo liko mashariki mwa mji wa Kisangani lenye thamani ya dola milioni 40 zaki Marekani.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mutamba ahukumiwa kifungo cha kazi ngumu DR Congo | SBS Swahili