Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mvutano wakibiashara waibuka kati ya Tanzania na Kenya

President of Tanzania, Samia Suluhu Hassan and Kenyan President William Ruto

Credit: Billy Mutai/Anadolu Agency via Getty Images/EPA/HIRAM OMONDI/KENYAN PRESIDENTIAL COMMUNICATION SERVICE/AAP Image

Kenya imepinga sheria mpya za biashara na kodi za Tanzania ikizitaja kuwa za kibaguzi na zinazohatarisha ushirikiano wa kiuchumi Afrika Mashariki.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Sheria hizo zimewazuia Wakenya kufanya biashara ndogo ndogo Tanzania.

Kupitia taarifa rasmi, Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda ya Kenya imeeleza wasiwasi mkubwa kuhusu amri ya Tanzania iliyoanza kutekelezwa Julai 28, ambayo inawazuia raia wa kigeni kushiriki katika baadhi ya sekta za biashara.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now