Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rwanda na DR Congo zakubali kuwarejesha wakimbizi makwao

M23 leader Corneille Nangaa and DRC President Felix Tshisekedi

Credit: Michele Tantussi/Cyrile Ndegeya/Anadolu via Getty Images

Shirika la UNHCR limesema viongozi wa Rwanda na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekubali kuwarejesha wakimbizi walio toroka makwao mashariki mwa DRC.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mgombea wa Urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina aelezwa na Tume huru ya uchaguzi ya Tanzania, INEC, hapaswi kuwania urais. INEC pia imefuta barua yake ya urejeshaji wa fomu ya uteuzi, na kumzuia kutofika katika ofisi za tume hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now