Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya Optus

OPTUS STOCK

An Optus sign is seen outside it’s store in Melbourne, Thursday, September 28, 2023. Source: AAP / CON CHRONIS/AAPIMAGE

Waziri wa Shirikisho wa Mawasiliano amesema Optus inastahili tarajia adhabu kubwa, kufuatia kupotea kwa huduma ya namba ya dharura ya 000, hali ambayo ime husishwa na vifo kadhaa.


Mamlaka ya Vyombo vya habari na Mawasiliano ya Australia [[ACMA]] imezindua uchunguzi kwa, kupotea kwa huduma hiyo mamlaka wakitaka kupata taarifa kutoka kampuni hiyo ya simu kwa ajili yaku elewa kilicho tokea.

Wakati huo huo Waziri Wells amesema, serikali inazingatia kuwasilisha mfumo kamili wa kujitegemea kujibu kashfa hiyo.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya Optus | SBS Swahili