Mamlaka ya Vyombo vya habari na Mawasiliano ya Australia [[ACMA]] imezindua uchunguzi kwa, kupotea kwa huduma hiyo mamlaka wakitaka kupata taarifa kutoka kampuni hiyo ya simu kwa ajili yaku elewa kilicho tokea.
Wakati huo huo Waziri Wells amesema, serikali inazingatia kuwasilisha mfumo kamili wa kujitegemea kujibu kashfa hiyo.