Taarifa ya Habari 12 Septemba 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Waziri Mkuu amesifu msaada wa wanachama wa kongamano la Visiwa vya Pasifiki, Australia inapo saka uenyeji wa kongamano la mazingira la Umoja wa Mataifa la, COP-31.


Chama cha Liberal cha shirikisho kina endelea kujiweka mbali na kashfa kuhusu wahamiaji kutoka India, siku kadhaa baada ya Seneta aliye wajibishwa kwa madai hayo kufutwa kazi kutoka uwaziri kivuli.

Ujumbe mkubwa wa serikali kutoka jijini Kinshasa, unatarajiwa mjini Uvira, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia, baada ya kushuhudiwa kwa maandamano yenye vurugu kwa siku kadhaa zilizopita, yaliyopangwa na mashirika ya kiraia na wapiganaji wa Wazalendo, kumkataa Jenerali Olivier Gasita kuongoza usalama katika eneo hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service