Kiongozi wa chama cha upinzani Afrika Kusini, Julius Malema, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka sheria za matumizi ya silaha, kufuatia tukio la mwaka 2018 ambapo alifyatua risasi hadharani wakati wa mkutano wa kisiasa. Hata hivyo, ameachiwa huru kwa dhamana akisubiri rufaa itakayosikilizwa baadaye.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





