SKIP TO MAIN CONTENT

Taarifa ya Habari:Australia yatoa kifurushi cha usaidizi cha dola milioni 5 kwa jamii zilizoathiriwa nchini Nepal

NEPAL-NUWAKOT-FLASH FLOOD-AFTERMATH
(260827) -- NUWAKOT, Aug. 27, 2026 (Xinhua) -- A drone photo taken on Aug. 27, 2026 shows a view of a massive flash flood-hit Nuwakot, Nepal. Source: SIPA USA / Sulav Shrestha/Xinhua/Sipa USA/AAP Image

Serikali ya Australia inaanzisha kifurushi cha usaidizi cha dola milioni 5 kwa jamii zilizoathiriwa nchini Nepal, huku idadi ya Waaustralia waliopotea ikiongezeka hadi 39.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Serikali ya Australia inaanzisha kifurushi cha usaidizi cha dola milioni 5 kwa jamii zilizoathiriwa nchini Nepal, huku idadi ya Waaustralia waliopotea ikiongezeka hadi 39.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Kamishna wa Unyanyasaji wa Majumbani, Familia na Kijinsia wa Australia anasema nchi hii bado inashindwa kukabiliana na ukatili wa kijinsia. Micaela Cronin anasema mpango mpya wa kitaifa wa kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na watoto unahitaji hatua kali zaidi katika maeneo ambayo maendeleo yamekwama.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemvua uanachama aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, siku moja baada ya kutangaza kujiuzulu wadhifa huo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now