Ripoti ya muda mfupi ya Tume ya Kifalme ya Kupinga chuki dhidi ya wayahudi na Mshikamano wa Kijamii inatarajiwa kutolewa leo [[30/4]], wakati matendo ya vyombo vya ujasusi na usalama vya Australia vikitarajiwa kuwa kipaumbele.
Burundi imezindua kampeni ya kuwapatia wasichana wenye umri wa miaka 9 hadi miaka 14 chanjo ya kukinga saratani ya mfuko wa uzazi. Mke wa rais wa Burundi Angeline Ndayishimiye amezindua kampeni hiyo katika Kijiji cha kibimba mkoani Gitega kwa kuwataka watu wapuuze taarifa za uvumi kwamba chanjo hiyo inasabisha utasa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





