Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: DFAT yatuma timu kuwasaidia Waaustralia waliokwama Mashariki ya Kati

Bench - Swahili.jpg

Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia Penny Wong amesema dunia ina wasiwasi kuhusu jinsi Iran inavyo jibu mashambulizi ya Marekani na Israel yaliyomuua kiongozi wake, Ayatollah Khamenei na kulenga miundombinu ya nyuklia.


Eneo la kaskazini ya Australia liko chini ya uangalizi wa kimbunga, mji wa Cairns ukitarajiwa kubeba madhara makubwa ya kimbunga cha kitropiki kitakacho vuka pwani ya Queensland kesho [[Ijumaa]] asubuhi.

Mataifa ya Afrika Magharibi yameamua kuunda kikosi cha wanajeshi 2,000 kukabiliana na makundi ya itikadi kali yanayozidi kuwa kitisho katika eneo hilo.

Arsenal hatua moja karibu kushinda ligi kuu ya Uingereza baada ya ushindi dhidi ya Brighton.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now