Iran imeonya nchi zisijihusishe na vita vya Marekani na Israeli, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhimiza nchi zingine kusindikiza meli za mafuta kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz.
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, ametangaza kuwa ameondoka nchini humo baada ya kujificha kwa karibu miezi miwili tangu kumalizika kwa uchaguzi wa rais uliofanyika Januari.
Wananchi wa Jamhuri ya Kongo-Brazzaville wanapiga kura leo Jumapili kumchagua rais mpya, huku rais wa sasa, Denis Sassou Nguesso, akigombea muhula wa tano mfululizo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





