Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: Iran yathibitisha vita dhidi ya Marekani na Israel vita isha leo usiku

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu (kushoto) Rais wa Marekani Donald Trump (katikati) na Kiongozi wa zamani wa Iran Hayati Ayatollah Ruhollah Khomeini (kulia).

Iran imethibitisha kwamba vita kati ya Marekani na Israeli katika nyanja mbalimbali Mashariki ya Kati vita isha usiku wa leo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Iran imethibitisha kwamba vita kati ya Marekani na Israeli katika nyanja mbalimbali Mashariki ya Kati vita isha usiku wa leo.


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, alizungumza kwenye runinga ya taifa ya Iran, akisema mazungumzo yatafanyika katika siku 60 zijazo, akiongeza kuwa Tehran italipiza kisasi iwapo kutatokea uvunjifu wowote wa mkataba huo. Marekani na Iran zimepangwa kusaini makubaliano ya amani nchini Uswisi Ijumaa hii 19 Juni 2026.

Kamati teule ya seneti kuhusu ukosefu wa usawa wa nyumba kati ya vizazi, imesikia kwamba Waaustralia wengi hawatawahi miliki nyumba kutokana na mfumo ambao umelenga kujenga nyumba na zana ya kuzalisha utajiri.

Uganda imekosoa vikwazo vya usafiri wa anga vilivyowekwa na nchi kama Marekani kufuatia mlipuko wa Ebola ulioenea kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ikiviita "visivyo vya haki."

Afrika yasherehekea ushindi wa kwanza katika Kombe la Dunia, baada ya Ivory Coast kuibuka mshindi wa goli moja kwa sufuri dhidi ya Ecuador.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now