Hali ya dharura ime anza kutumika nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi, yaliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Caracas, na kuua watu wasiopungua 32 pamoja nakuwajeruhi mamia.
Mbunge huru Zali Steggall anasukuma serikali itunge sheria ya ukweli katika matangazo ya kisiasa, akisema kuongezeka kwa maudhui ya akili mnemba au A-I kunahatarisha demokrasia.
Waziri wa Afya wa Kenya ameamuru kusitishwa kwa maandalizi ya kituo cha karantini cha Ebola kinachoendeshwa na Marekani, Waziri wa Afya Aden Duale ameambia mahakama Juni 23, baada ya kupatikana na hatia ya kuidharau mahakama kwa kupuuza amri ya awali ya kusitisha ujenzi wa kituo hicho.
Morocco na Afrika Kusini zime kuwa nchi za kwanza za Afrika, kutinga hatua ya mchujo ya Kombe la Dunia 2026.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.





