SKIP TO MAIN CONTENT

Taarifa ya Habari:Makumi yawa Australia hawajulikani waliko katika mafuriko nchini Nepal

NEPAL-WEATHER-LANDSLIDE-FLOOD
A resident walks along a street covered in mud following flash floods and a landslide disaster in Devighat, in Nepal's Nuwakot district on August 26, 2026. Source: AFP / PRAKASH MATHEMA/AFP

Waziri Mkuu Anthony Albanese amethibitisha kuwa Waaustralia 34, hawajulikani walipo baada ya mafuriko makubwa ya ghafla kwenye mpaka wa Nepal-Tibet.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Waziri Mkuu Anthony Albanese amethibitisha kuwa Waaustralia 34, hawajulikani walipo baada ya mafuriko makubwa ya ghafla kwenye mpaka wa Nepal-Tibet.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Marekani inasema wanajeshi wa kimataifa wanajiandaa kupelekwa Gaza huku juhudi zikiendelea kutekeleza mpango wa Rais Donald Trump wa kusitisha mapigano. Kikosi hicho kinakusudiwa kusaidia kuleta utulivu Gaza, na kusimamia uondoaji wa kijeshi chini ya mpango huo unaoungwa mkono na Marekani.

Chama Cha Mapinduzi, CCM, kimehitimisha kwa kishindo safari ya kisiasa ya Emmanuel Nchimbi ndani ya chama hicho. Siku moja baada ya kutangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais na kustaafu siasa, Nchimbi amefutwa uanachama kwa sababu zinazohusishwa na nidhamu na maadili.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now