Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari:Mpango wa serikali wa kurekebisha NDIS waiweka pabaya bungeni

Greens Senator Jordan Steele-John is seen during Senate Question Time at Parliament House in Canberra, Monday, November 12, 2018. (AAP Image/Sean Davey) NO ARCHIVING

Greens Senator Jordan Steele-John during Senate Question Time at Parliament House in Canberra, Source: AAP

Chama cha Greens kimeita mpango wa serikali wa kurekebisha Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu kuwa sheria 'isiyo ya kibinadamu'.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Chama cha Greens kimeita mpango wa serikali wa kurekebisha Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu kuwa sheria 'isiyo ya kibinadamu'.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Chini ya mageuzi yaliyopendekezwa, zaidi ya watu 160,000 wataondolewa kwenye mpango huo katika jaribio la kudhibiti matumizi ya mpango huo.

Wakili mashuhuri na mwanasiasa kutoka nchini Kenya Martha Karua amezuiwa kuingia nchini Uganda na kufukuzwa nchini humo, alikokuwa amekwenda kuhudhuria kesi ya wakili Erias Lukwago aliyefunguliwa mashtaka ya uhaini. Martha Karua na Erias Lukwago ni Mawakili wa mwanasiasa mkongwe Kizza Besigye ambaye amekuwa akizuiwa kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now