Naveed Akram mwenye miaka 24, alihudhuria kikao hicho kilicho kuwa katika mahakama ya Downing Centre mjini Sydney kwa video.
Wakati usitishaji mapigano ukitarajiwa kuanza siku ya Jumatano, Februari 18, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), mapigano makali yana ambatana na mashambulizi ya mabomu yanaendelea katika nyanda za juu za Minembwe, katika eneo la Fizi katika mkoa wa Kivu Kusini, kati ya wapiganaji wa Twirwaneho—wanaoshirikiana na AFC/M23—na jeshi la Kongo, linaloungwa mkono na jeshi la Burundi na wanamgambo wa Wazalendo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





