Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari:Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda afariki

Felicien Kabuga

Rwandan suspected genocide financier Felicien Kabuga is seen as International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT) announced him as he is âunfitâ to stand trial due to his severe dementia, in Lahey, Netherlands on August 08, 2023. Source: Anadolu / International Criminal Court / Handout/Anadolu Agency via Getty Images

Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC iliyoko mjini The Hague, Uholanzi imesema mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda Felicien Kabuga amefariki dunia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC iliyoko mjini The Hague, Uholanzi imesema mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda Felicien Kabuga amefariki dunia.


Kabuga aliyekuwa na umri wa miaka 90 alifariki Jana Jumamosi akiwa hospitalini. Jaji wa Mahakama hiyo Graciela Gatti Santana ameamuru uchunguzi kufanywa haraka kubaini chanzo cha kifo chake.

Uchunguzi wa Seneti unao ongozwa na chama cha Greens kuhusu ukosefu wa usawa wa makazi umeanza leo, chama hicho kikiendelea kuwa na wasiwasi kwamba bajeti ya hivi karibuni ya shirikisho ya serikali imeshindwa kufanya chochote kwa ajili ya wapangaji.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now