Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC iliyoko mjini The Hague, Uholanzi imesema mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda Felicien Kabuga amefariki dunia.
Kabuga aliyekuwa na umri wa miaka 90 alifariki Jana Jumamosi akiwa hospitalini. Jaji wa Mahakama hiyo Graciela Gatti Santana ameamuru uchunguzi kufanywa haraka kubaini chanzo cha kifo chake.
Uchunguzi wa Seneti unao ongozwa na chama cha Greens kuhusu ukosefu wa usawa wa makazi umeanza leo, chama hicho kikiendelea kuwa na wasiwasi kwamba bajeti ya hivi karibuni ya shirikisho ya serikali imeshindwa kufanya chochote kwa ajili ya wapangaji.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






