Taarifa ya habari:serikali ya Australia yaomba msamaha rasmi kwa watu wa mataifa ya kwanza leo

Baadhi ya habari zinazojumuisha taarifa yetu leo, *Victoria inatarajiwa kutoa msamaha kwa watu wa mataifa ya kwanza leo *Serikali ya Northern territory imepinga ziara ya umoja wa mataifa *Australia na marekani waanza mazungumzo kuhusu usalama na pia AUKUS *idadi ya vifo vinaendelea kuongezeka sudan baada ya mashambulio wiki iliyopita Kwa habari na maelezo zaidi tembelea tovuti yetu kwa sbs.com.au/swahili.
Share








