Utafutaji unaendelea wa mwanamume aliyepotea huko Burnett Heads, huku mafuriko yakiathiri Kaskazini mwa Queensland.
Jijini Goma,mashariki mwa DRC, kumefanyika maandamano baada ya shambulizi la ndege isiyokuwa na rubani siku ya Jumatano na kusababisha vifo vya watu watatu, akiwemo raia wa Ufaransa mfanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UNICEF, linaloshughulikia masuala ya watoto.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





