Wakati huo huo Mbunge wa chama cha One Nation na naibu waziri mkuu wa zamani Barnaby Joyce, ameiambia runinga ya Channel 7 kwamba mabadiliko yoyote yatawalenga wale ambao wamewekeza kwa muda.
Marais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na William Ruto wa Kenya, wanashiriki jukwaa la pamoja la kujadili masuala ya biashara na uwekezaji kwa mataifa yao yanayotegemea sekta mbalimbali ikiwamo ukuzaji uchumi. Viongozi hao wamekuwa na mazungumzo ya ana kwa ana ikulu jijini Dar es salaam kabla ya kujumuika na hadhira inayojumuisha viongozi wa kada mbalimbali kujadiliana masuala ya biashara na uwekezaji.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





