Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: Serikali za Australia na Ujerumani za imarisha uhusiano wa usalama

Bench - Swahili.jpg

Waziri wa ulinzi wa Ujerumani amekutana na mwenzake wa Australia Richard Marles, katika ziara ya kwanza ya mtu aliyehudumu katika nafasi hiyo katika kipindi cha miaka 8.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Boris Pistorius yuko kandani kupata uhusiano wa ulinzi katika eneo la Indo-Pacific, na ziara yake inajumuisha mikutano na serikali za Japani na Singapore.

Benki Kuu inaonya viwango zaidi vya riba vinakuja, huku vita katika Mashariki ya Kati vikisababisha gharama za mafuta na bidhaa zingine.

Kikosi kinachoundwa na mashirika mbalimbali ya usalama na afya nchini Kenya kimeizikuwa zaidi ya miili 30 iliyokuwa imezikwa kwenye kaburi la pamoja katika Kaunti ya Kericho.

Katika taarifa, RSF wamesema wamefanikiwa pia kuchukua udhibiti wa maeneo mengine mawili ya karibu. Hapo Jumanne, mwakilishi wa jeshi la serikali katika eneola Damazin ambao ndio mji mkuu wa jimbo la Blue Nile ulioko mji wa Kurmuk, alisema hali mjini humo ni mbaya na ni vigumu kwa jeshi kushikilia maeneo yao imara.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now