Taarifa ya Habari: Sussan Ley astaafu kutoka siasa

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Kiongozi wa upinzani wa kwanza wa kike nchini Australia Sussan Ley ametangaza kuwa amestaafu kutoka siasa.


Tangazo hilo limejiri muda mfupi baada ya Bi Ley kushindwa katika uchaguzi wa kiongozi wa chama cha Liberal mjini Canberra. Angus Taylor ndiye kiongozi mpya wa upinzani baada yaku ibuka na ushindi wa kura 31 dhidi ya 17 alizopata Bi Ley.

Kaimu mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC (MONUSCO) ametua mnamo Februari 12, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Goma, ambao ulikuwa umefungwa kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now