Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari: Ugavi wa nyumba utakuwa muhimu katika bajeti ya shirikisho ya kesho serikali ya sema

BUDGET PAPERS ALCBudget2026

The 2026-2027 Budget Papers are seen at a printing facility prior to being delivered to Parliament House in Canberra , Sunday, May 10, 2026. Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Waziri wa Makazi Clare O'Neil, anasema bajeti ya shirikisho itasaidia sana kushughulikia upungufu wa usambazaji wa makazi.


Kabla ya bajeti ya kesho, serikali Jumapili [[10 Mei]] ilitangaza ziada ya dola bilioni 2 kwa miaka minne kwa ajili ya miundombinu ya makazi - ikiwemo barabara, maji, umeme na mifumo ya majitaka - inayohitajika kwa maendeleo mapya.

Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote amesema anafikiria kujenga nchini Kenya kiwanda cha kusafisha mafuta chenye uwezo wa kumudu mapiga 650,000 kwa siku na kitakachogharimu kati ya dola bilioni 15 hadi 17 za Kimarekani. Hayo yameelezwa siku ya Jumapili na gazeti la Financial Times lililofanya mahojiano na mfanyabiashara huyo tajiri barani Afrika aliyeongeza kuwa kiwanda hicho kinatazamiwa kujengwa Mombasa kwa kuwa ina bandari kubwa na yenye kina kirefu zaidi eneo hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now