Waziri wa Fedha Jim Chalmers ame ongeza mashambulizi ya chama cha Labor dhidi ya hotuba ya majibu ya bajeti ya Angus Taylor, akimshtumu kiongozi huyo wa Upinzani kwa kutoa pendekezo lenye madeni, upungufu wa kifedha, na utengano.
Wiki mbili za mapigano makali nchini Sudan Kusini zimesababisha vifo vya zaidi ya watu 61, wakiwemo watoto tisa, kundi la madaktari wa eneo hilo limetangaza siku ya Jumatano. Mapigano haya ni sehemu ya vita kubwa zaidi ambayo imeikumba nchi hiyo tangu mwaka 2023.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






