Waziri Mkuu Anthony Albanese amepuuza matarajio ya vikwazo vikali vya mafuta, kabla ya mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo [[Alhamisi Aprili 23]].
Bw. Albanese anasema mkutano huo unatoa nafasi kwa majimbo na wilaya zote nchini Australia, kupokea taarifa mpya kuhusu minyororo ya usambazaji wa nishati na kuratibu majibu ya mgogoro wa mafuta.
Zikiwa zimesalia siku nne kufikia tarehe ya mwisho iliyowekwa na Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu nchini Kenya kwa ajili ya kuwasilisha maoni ya umma kuhusu mfumo uliopendekezwa wa fidia ya waathiriwa wa maandamano ya mwaka 2024 na 2025, familia zilizoathiriwa zimekataa mapendekezo ya sasa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






