Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) lilisema kwenye taarifa yake ya Jumapili (Mei 31) kwamba, wagonjwa wengine zaidi wa Ebola wanatazamiwa kupona, hasa pale ugunduzi na matibabu yanapoanza mapema, wakati juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo hatari zikiongezeka.
Mwishoni mwa wiki iliyopita, mfanyakazi mmoja wa maabara aliyekuwa ameambukizwa, alipona ugonjwa huo na kuifanya idadi ya waliopona kufika watano. Nje ya Afrika, wagonjwa wachache wanaendelea kutibiwa nchini Brazil na Italia, baada ya kupata maambukizo wakitokea mataifa yaliyokumbwa na ugonjwa huo.
Mweka Hazina Kivuli Tim Wilson anasema Upinzani wa Mseto hauta babishwa na chama cha One Nation, kufuatia kura ya maoni ya Australian Financial Review inayoonyesha kura ya msingi ya chama hicho inakifanya kuwa maarufu zaidi nchini.
Kura ya msingi ya Upinzani wa Mseto ni asilimia 20, huku uungwaji mkono wa One Nation ukiongezeka kwa alama nne hadi asilimia 31.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






