Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema upunguzaji wa kodi ya faida ya mtaji, hautajumuishwa katika sehemu ya kwanza ya sheria inayotarajiwa kuwasilishwa bungeni katika siku zijazo.
Serikali ya shirikisho inasema Australia ina karibu wiki moja zaidi ya petroli na dizeli, iliyohifadhiwa sasa kuliko ilivyokuwa mwanzoni mwa mzozo wa Iran.
Uganda imeripoti watu wawili wapya kuwa wameambukizwa Ebola, na kufanya jumla ya maambukizi kufikia saba, huku mamlaka za afya zikisema visa vyote vinahusishwa na mlipuko unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





