Mweka Hazina wa taifa Jim Chalmers anasema atafanya mazungumzo na serikali za majimbo na mikoa, kuhusu kupunguza ukuaji wa Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu (NDIS).
Kiongozi wa upinzani Angus Taylor anasema serikali ya shirikisho inataka kutoza kodi ya ziada, kwa nyumba ambayo anasema itapunguza utoaji wa nyumba.
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wamekubaliana hatua kadhaa za kibinaadamu na kuwaachilia huru wafungwa ndani ya siku 10. Hayo ni baada ya mazungumzo yaliyofanyika nchini Uswisi.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






