Katika siku ya kwanza ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Msikiti wa Lakemba ambao uko mjini Sydney, umepokea barua ya tatu ya vitisho ndani ya mwezi mmoja, na kuacha jamii ya Waislamu wa Australia katika hali ya tahadhari. Polisi wameanzia uchunguzi wa kisayansi na kuongeza doria katika maeneo ya kidini, wakati meya wa eneo hilo Bilal El-Hayek ametoa wito wa umoja.
Mwezi mmoja baada ya waasi wa M23/AFC kuondoka kwenye mji wa Uvira jimboni Kivu Kusini, Mashariki mwa DRC, maisha ya kawaida yameanza kurejea taratibu, huku utawala wa Kinshasa ukirejea.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





