Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wajerumani na Waholanzi watupwa nje ya Kombe la Dunia 2026

2026 World Cup - Germany and Paraguay
Paraguay's defender #15 Gustavo Gomez (r) and teammates celebrate after winning the penalty shootout of the 2026 World Cup round of 32 football match between Germany and Paraguay at the Boston Stadium in Foxborough on June 29, 2026. Source: AFP / CHARLY TRIBALLEAU/AFP

Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao muda mfupi kabla ya kipenga cha mwisho.


Published

By Yumi Oba

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao muda mfupi kabla ya kipenga cha mwisho.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mabingwa mara tano wa dunia Brazil wamefanikiwa kuingia katika Raundi ya 16, baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Japan, bao la ushindi likifungwa katika dakika ya mwisho ya ziada.

Jimboni Massachusetts, mabingwa mara nne wa dunia Ujerumani walipigwa kwa njia ya kushangaza na Paraguay, ambao walishinda 4-3 katika mikwaju ya kwanza ya penati ya mashindano hayo.

Mjini Monterrey, Mexico pambano lingine la kusisimua lilishuhudiwa kati ya Morocco ambayo katika nafasi ya sita na Uholanzi iliyo katika nafasi ya saba katika orodha ya timu bora duniani.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now