Wairani-Waaustralia wanaelezea hisia mseto kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran, pamoja na mauaji ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei.
Ingawa wengi wao wanatumai kifo chake kitasababisha uhuru wa Iran, wengine wamesema hawaamini kwamba Donald Trump na Benjamin Netanyahu wana nia njema.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.





