Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Wairani-Waaustralia waomba demokrasia baada ya mashambulizi ya Marekani na Israeli

RALLY FOR IRAN SYDNEY

Protesters gather to respond to the recent US-Israel bombings on Iran, Sydney, Sunday, March 1, 2026. Iran's Supreme Leader Ali Khamenei, who led the Islamic regime for nearly four decades, has been killed in an operation launched by Israel and the US. (AAP Image/Sarah Wilson) NO ARCHIVING Source: AAP / Sarah Wilson/AAPIMAGE

Wairani-Waaustralia wanaelezea hisia mseto kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran, pamoja na mauaji ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei.


Ingawa wengi wao wanatumai kifo chake kitasababisha uhuru wa Iran, wengine wamesema hawaamini kwamba Donald Trump na Benjamin Netanyahu wana nia njema.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now