Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Makala leo: Waustralia waonywa kupata chanjo dhidi ya aina ya mafua inayo sambaa haraka

Older man getting shot from nurse

Older man getting shot from nurse Source: Getty / (Getty Images/fstop123)

Wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza wanahimiza kila mtu apate chanjo ya mafua, kwa ajili ya kujaribu kuzuia kurudia kwa mwaka jana ambapo Australia ilishuhudia idadi kubwa ya vifo vilivyo sababishwa na mafua.


Published

Updated

By Greg Dyett

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza wanahimiza kila mtu apate chanjo ya mafua, kwa ajili ya kujaribu kuzuia kurudia kwa mwaka jana ambapo Australia ilishuhudia idadi kubwa ya vifo vilivyo sababishwa na mafua.


Zaidi ya watu 1,700 walifariki na kulikuwa na visa zaidi ya nusu milioni vilivyothibitishwa.

Wataalamu wa afya wanasema viwango vya chini vya chanjo vinachangia katika idadi kubwa ya visa hivyo. Wanaonya kuwa mwaka huu unaweza kuwa mbaya zaidi kutokana na kuenea kwa aina ya mafua yanayo julikana kama subclade K au Super-K.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now